Friday, February 24, 2012

Mtumishi Freddy Chavala Kuanza Season One Ya Matamasha ya Cheka Tena(Laugh Again Concert ) Tar 4 March 2012,Pale Landmark Hotel,Ubungo,Dsm.


 Baada ya mafanikio makubwa ya uzinduzi wa matamasha hayo mwishoni mwa mwaka jana, Nov 20 2011 pale Crystall hall ndani ya Blue pearl hotel, Ubungo plaza. Sasa mbeba IDEA
PRESIDENT CHAVALA  ameamua kuanza rasmi MSIMU WA KWANZA(SEASON ONE) wa matamasha hayo ya stand up comedy Tanzania, na Tamasha la kwanza ndio hili LAUGH AGAIN CONCERT One One litakalofanyika pale Ibungira hall ndani ya LANDMARK HOTEL,Ubungo,river side, jumapili ya kwanza ya march(4th March 2012), kuanzia saa nane na nusu mchana mpaka mbili usiku(2:30pm8pm).

 Mbali na CLOWN CHAVALA,Tamasha hili la Ubungo litawapandisha comedians chipukizi watano ambao ni Senior ABBY, GERALD MREMA, RICHARD CHIDUNDO, JOSEPHINE LUKWETO na MC MANU a.k.a Pilipili ya Sherehe toka Dodoma,Makundi mengine ya watu watakaonogesha tamasha hili ni pamoja na kundi maarufu la vijana waimbaji waitwao GLORIOUS CELEBRATION BAND, pia DAR ES SALAAM GOSPEL BAND, VOCAPELLA GROUP, VICTOR ARON,MADAM RUTH &CHRISS na wengine wengi bila kusahau kundi la DANCE.

Glorious Celebration Nao Watakuwepo Kumsindikiza Chavala

Akiongea na VIPAJI HALISI kutoka jijini Dar es salaam mbeba maono hayo Presdent Chavala amesema LAUGH AGAIN CONCERT One One litahusisha Stand Up Comedy(Zaidi), pamoja na Acapella, Dance,Sebene,Story telling, Zawadi & Suprises, Open Mic,Drama,na mengine mengi yatokanayo! Mbali na hayo kutakuwa na uzinduzi wa FORUM iitwayo QUALITYLOVE.com, ambayo itakuwa maalumu kwa ajili ya kujadili maswala ya Upendo safi kwa kina,ubora,upana na ubora wake katika nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu. Na kama mambo yataenda kama yalivyopangwa kutazinduliwa kitabu kiitwacho "NO MORE SCHOOL FOR YOU"(Your birth was your Graduation) By FREDY E. CHAVALA.

Kiingilio kwa tamasha hili itakuwa 5000/= kwa tiketi, ambazo zinapatikana Victory Christian Centre(VCC);Tarakea Restaurant(Mwenge),Silver Spoon and Tausi Fashion pale Mlimani City,Global Publisher na Praise Power Radio pia mtu anaweza kununua tiketi kwa MPesa (0753 883 797) au Tigo Pesa (0713 883797) kwa kutuma 6000/= na atapata tiketi yake mlangoni, lakini hakikisha unatuma pesa kwa namba yako mwenyewe iliyosajiliwa kwa jina lako!


The Voive,Waimbaji wa Acapella Nao watakuwepo

















 LAUGH AGAIN CONCERT Season One itakuwa na matamasha nane katika mikoa mitano ya hapa nchini kwa kuanzia, Matamasha haya yatafanyika kuanzia MarchAugust/September 2012 katika mikoa ya Dar es salaam(3),Arusha(1),Mwanza(1),Dodoma(2) na Mbeya(1).

 Tar 1st April ni ARUSHA na 29th April ni ndani ya COLD CREST HOTEL,Mwanza then DSM tena !
Clown Chavala,The King of Stand up Comedy! Alimaarufu kama President Chavala!
Ambaye ni MC Maarufu ,Mchekeshaji(stand up comedian) na Muasisi wa christian stand up comedy Tanzania, ambaye ndiye Mchekeshaji mkuu na Project manager wa hii project,amesema matamasha haya yatakuwa endelevu na yatafika katika kila mkoa wa Tanzania na baadae mwaka huu tunategemea kuanzisha vipindi maalum katika televisheni kadhaa nchini na mbeleni zaidi kutunza matamasha hayo katika DVDs. Zaidi mwaka huu tutakuwa na Movie project ambazo zitawahusisha vipaji vipya kabisa sana sana katika tasnia ya Stand Up Comedy.

Tuesday, February 21, 2012

Campus Night at Saint Augustine University on 24-02-2012

Contact Us

HHC ALIVE FM 91.9 MHz

P.O.BOX 6419
, MWANZA – TANZANIA
C.E.O: +255 762 404 383
Marketing Department +255 755 744 376
Broadcasting House, Mamlaka ya Pamba, Kirumba
Mlolwa Building 1st floor

HHC ALIVE FM WEEKLY PROGRAMME

PROGRAMME MONDAY – FRIDAY

05:00 – 07:00
AMKA NA HHC ALIVE FM + CDP SWAHILI
07:00 – 09:00
SUNRISE LIVE
09:00 – 11:00
DIRA
11:00 – 12:00
INGIZO JIPYA + PROMOTION OF NEW SONGS
12:00 – 14:00
MID – DAY MELODY
14:00 – 16:00
VIPAJI HALISI
16:00 – 17:30
CROSS RHYTHM
17:30 – 18:00
CDP ENGLISH
18:00 – 19:00
SALAAM ZA JIONI/SALAAM LIVE
19:00 – 20:00
KWELI  ITAKUWEKA  HURU
20:00 – 20:30
SPORTS LIVE
20:30 – 21:00
HAPA  NA  PALE
21:00 – 22:30
SAUTI YA TUMAINI
22:30 – 23:00
MUZIKI MCHANGANYIKO
23:00 – 00:00
THE NIGHT OF PARADISE
00:00 - 05:00
USIKU MWEMA NA HHC ALIVE FM


PROGRAMME SATURDAY
05:00 – 07:00
AMKA NA HHC ALIVE FM+CDP SWAHILI
07:00 – 09:00
SUNRISE LIVE
09:00 – 10:00
MTU NI AFYA
10:00 – 11:00
WATOTO LIVE
11:00 – 12:00
MTAALAMU WA LEO
12:00 – 13:00
AFRICAN GOSPEL
13:00 – 14:00
MWANAMKE NA UPENYO
14:00 – 15:00
SIFA MOTO
15:00 – 16:00
AMKA PAMBANA
16:00 – 18:00
JUKWAA LETU
18:00 – 19:00
KIJANA NA UJANA
19:00 – 20:00
MAHUBIRI YA KULIPIA
20:00 – 20:30
SPORTS LIVE
20:30 – 21:00
MAHUBIRI YA KULIPIA
21:00 – 22:30
SAUTI YA TUMAINI
23:00 – 00:00
THE NIGHT OF PARADISE
00:00 - 05:00
USIKU MWEMA NA HHC ALIVE FM


PROGRAMME SUNDAY
05:00 – 07:00
AMKA NA HHC ALIVE FM+CDP SWAHILI
07:00 – 10:00
SUNDAY SPESHO
10:00 – 12:00
ZILIZORINDIMA
12:00 – 14:00
CHEZA NAMI
14:00 – 16:00
20 KALI ZA WIKI
16:00 – 18:00
FAHARI YA WAZEE
18:00 – 19:00
MAGAZETI YA KIKRISTO
19:00 – 20:00
CHEMSHA BONGO
20:00 – 20:30
SPORTS LIVE
20:30 – 21:00
MUZIKI /MATANGAZO
21:00 – 22:30
SAUTI YA TUMAINI
23:00 – 00:00
THE NIGHT OF PARADISE
00:00 - 05:00
USIKU MWEMA NA HHC ALIVE FM

Wednesday, December 7, 2011

Blessed are those who hunger and thirst

An amazing thing happens when we seek God's face! He ends up 'clothing' us with His righteousness and as the scripture in Matthew 6:23 says, adds all things unto us. As I was meditating on the word righteousness, the Spirit led me to search the word in my iPod NIV Bible. Some incredible threads leapt out at me and I decided to dig a little deeper.

I found something interesting in the following verses from John 16:7-11:
7: "But I tell you the truth: It is for your own good that I am going away. Unless I go away, the Counselor will not come to you; but if I go, I will send Him to you"
8:" When he comes, he will convict the world of guilt in regard to sin and righteousness and judgement."
9: "In regard to sin because men do not believe in me;
10: "In regard to RIGHTEOUSNESS (emphasis mine), because I am going to the Father, where you can see me no longer and in regard to judgement because the prince of this world now stands condemned."
John Kagaruki
When we look at the three items Jesus mentions, we see the Holy Spirit doing three things and there is righteousness in the middle of them, being positioned in such a manner as to suggest that the Spirit of God comes to dwell in us and thus clothe us with righteousness! 'In regard to righteousness, because' He is going to the Father where they can see Him no longer! The light bulbs go on! 'Seek ye first...' In Psalm 13:1 David asks how long the Lord will hide his face from him.

Paul in quoting the Psalms in Romans 3:10,11 says that 'There is no one righteous, not even one, there is no one who understands, no one who SEEKS God.'
So we find from John 16 that:
1. The sin that the Spirit convicts of is that of not believing in Him (It is by grace we are saved through faith...). Ephesians 2:8 & John 3:16, Galatians 5:5.

2. The righteousness that He convicts of is that of being with and in Him
(It seems strange that Jesus would deliberately equate righteousnesss with His not being seen any longer! When Jesus was with them, they walked with 'God'. He who has seen the Son, has seen the Father! 

3. The judgement He dishes out is to the prince of this world.
It then seems that we are truly blessed when we are filled with the Holy Spirit (God's manifest Presence in us) as this is what produces our righteousness by faith. Galatians 5:5 talks about us eagerly awaiting the righteousness for which we hope for by faith. 
From this arise the fruit of the spirit, the gifts of the spirit and the authority of the spirit! Malachi 4: 2,3: But for you who revere my name, the sun of righteousness will rise with healing in its wings. And you will go out and leap like calves released from the stall. 
(3) then you will TRAMPLE (emphasis mine) down the wicked! Connect this with Luke 10:19 where Jesus says 'I have given you authority to trample on snakes and scorpions and to overcome ALL (emphasis mine) the power of the enemy; nothing will harm you' ( Mark 16:17: And these signs will accompany....). Oh that we would seek His face and hide under his wings! (Psalm 91).
Do you want to get healed? Do you want to trample down demons and powers of darkness? This is not the monopoly of titled ministers of the Gospel! Does 'In the last days I will pour out my Spirit on ALL people...'(Joel 2:28) ring a bell? Then seek His face, hunger and thirst for His righteousness (The Counselor) and you will be filled!
By John Kagaruki.

Siri ya Marehemu Dr Remmy Ongala Kufuga Nywele



Dr Remmy Ongala akijisomea Neno la Mungu
Ramadhani Mtolo ndio jina halisi la Marehemu Dr Remmy Ongala, alikuwa Mwanamuziki wa nyimbo za Kidunia(Circular Music) na baadaye  alipata Neema ya Kumpokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa Maisha Yake Miaka Michache kabla ya Kifo chake.

Dr Remmy Ongala alizaliwa nchini Congo Kinshasa mwaka 1947 katika mkoa wa Kivu, Mama yake mzazi alikuwa ameshajaliwa kujifungua watoto wawili ambapo kwa bahati mbaya wote walifariki. 

Watoto hawa hawakuwa Mapacha na aliwazaa katika vipindi viwili tofauti na kila mmoja alifariki kwa wakati tofauti. Mama huyo alipopata ujauzito wa tatu akaona inawezekana kabisa mtoto huyo akafariki kama walivyofariki wengine wawili waliotangulia.

Baada ya kujiuliza Maswali kwa muda mrefu pasipo majibu ndipo siku ya siku alijifungua mtoto wa kiume aliyempa jina la Ramadhani ambaye ndiye Remmy.Kwa kuwa mamaye  Remmy hakutaka kumpoteza  mwanaye, akaamua kwenda kwa mganga wa Kienyeji ili kupata Kinga itakayoyasalimisha maisha ya Mwanae.

Alipofika kwa Mganga wa Kienyeji, mganga alimwambia ili mtoto wake asifariki inabidi mtoto huyo(Remmy) asinyolewe nywele  Maishani mwake ushauri ambao mamaye aliupokea na kuufanyia kazi. Remmy alizaliwa akiwa tayari na meno mawili ya mbele kitu ambacho kilichukuliwa kama ishara ya baadaye kuja kuwa mganga wa kienyeji ingawa utabiri huo haukutimia. Hivyo toka akiwa mtoto mdogo Dr Remmy hakukatwa Nywele na hata alipokuwa mkubwa na kulijua hilo halikumsumbua sana kwa kuwa alikuwa keshazoea kuishi kwa staili hiyo.

Remmy aliingia nchini mwaka 1978 na katika kipindi chote hicho alikuwa akifanya kazi kama Mwanamuziki wa Circular Music. Alifariki mwaka 2010 jijini Dar es salaam, miaka michache kabla hajafariki Dr Remmy alimpokea YESU kama Bwana na Mwokozi wa MAISHA Yake. Baada ya kuokoka Dr Remmy alikuwa akisali katika kanisa la Glory of Christ  lililoko Ubungo jijini Dar es salaam. Watumishi kanisani hapo walimshauri anyoe Nywele kama moja ya Hatua za Kuvunja maagano yaliyowekwa hapo awali kitendo ambacho Dr Remmy alikubali na kunyoa rasta hizo. 

Baada ya kuokoka Remmy alisema katika maisha yake alikuwa akiudharau wokovu na hakuwahi hata kufikiri kuwa ipo siku atakuja kuokoka au kukata nywele. Biblia inasema  “All things works together for Good”, Safari ndefu ya maisha ya Dr Remmy ikaishia Madhabahuni. Album yake ya Injili aliyoipa jina la “Kwa Yesu kuna Furaha” iligusa mioyo ya watu wengi kwa kuwa ilibeba ushuhuda wa maisha yake.Remmy alibatizwa kanisani hapo kisha akaanza kumtumikia Mungu kama muimbaji wa nyimbo za injili mpaka mwisho wa uhai wake. 

Santos wa Arsenal nje mechi ya Everton

Mlinzi wa kushoto wa Arsenal Andre Santos, ameondolewa katika kikosi kitakachocheza siku ya Jumamosi dhidi ya Everton katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu ya Kandanda ya England baada ya kuumia kifundo cha mguu wakati wa mchezo na Olympiakos.

Andre Santos aumia kifundo cha mguu hatacheza na Everton
Andre Santos
Santos alilazimika kutoka uwanjani dakika ya 51 siku ya Jumanne baada ya Arsenal kulazwa mabao 3-1 katika mchezo wa mwisho wa kundi lao la F kuwania kufuzu kwa hatua ya mtoano ya Ubingwa wa Ulaya.

Hhc Alive ina habari kuwa Santos, ambaye ameshacheza tangu mwanzo mechi 12 za Arsenal katika mashindano yote msimu huu, huenda akakosa mechi hiyo moja tu dhdi ya Everton.

Walinzi wengine wa pembeni wa Arsenal Carl Jenkinson, Kieran Gibbs na Bacary Sagna nao wagonjwa.

Gibbs anaendelea kupata nafuu baada ya kufanyiwa upasuaji wa mshipa wa ngiri mwezi uliopita na hatazamiwi kucheza mechi na Everton, wakati Jenkinson anakabiliwa na maumivu ya mgongo.

Sagna alivunjika mguu wakati Arsenal ilipolazwa na Tottenham mwezi wa Oktoba.

Wenger huenda akalazimika kumchezesha nafasi ya ulinzi wa kushoto Thomas Vermaelen kutokana na walinzi wa kutumainiwa wa pembeni karibu wote kuumia.

Santos, ambaye amshacheza mechi 22 za kimataifa kwa timu yake ya taifa ya Brazil, alijiunga na the Gunners msimu huu akitokea klabu ya Uturuki ya Fenerbahce kwa kitita cha paundi milioni 6.